You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Mazingira yanatuzunguka kila mahala, na wanaadamu wanayategemea kuendesha maisha yao.
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
19.09.2024
19 Septemba 2024
Maelfu ya watu wahamishwa Italia kufuatia Kimbunga Boris
19.09.2024
19 Septemba 2024
Tabianchi na migogoro ni kitisho kwa vita dhidi ya Ukimwi
18.09.2024
18 Septemba 2024
Marekani na wakuu wa mataifa mengine wamelaani kuuawa kwa ki
13.09.2024
13 Septemba 2024
Tahadhari ya hali mbaya ya hewa yatolewa Ujerumani
10.09.2024
10 Septemba 2024
Karibu wanaharakati 200 wa mazingira waliuawa, 2023
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Vijana waitisha maandamano zaidi duniani ya mazingira
Vijana waitisha maandamano zaidi duniani ya mazingira
Hapa Ujerumani miji kadhaa inafanya maandamano hayo ingawa kunatarajiwa idadi ndogo kulinganisha na kipindi cha nyuma.
Watu wafa katika mafuriko Ulaya ya Kati
Watu wafa katika mafuriko Ulaya ya Kati
Watu 7 wameripotiwa kufa katika siku mbili zilizopita na zaidi ya elfu 10 wamehamishwa Czech.
Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi wa Desemba kwa miaka miwili
Sudan Kusini yaahirisha uchaguzi wa Desemba kwa miaka miwili
Rais Salva Kiir na naibu Riek Machar walitia saini makubaliano ya amani mnamo mwaka 2018
Watetezi karibu 200 wa mazingira waliuawa 2023
Watetezi karibu 200 wa mazingira waliuawa 2023
Colombia kwa mara nyingine inashikilia rekodi ya kuwa nchi isiyo salama kanda ya Amerika ya Kusini kwa wanaharakati hao.
Kongo: Walimu wagoma wakitaka mazingira bora ya kazi
Kongo: Walimu wagoma wakitaka mazingira bora ya kazi
Mgomno huo wa walimu katika jimbo la Kivu unalenga kushinikiza serikali kuboresha mazingira bora ya kazi.
Wimbi la joto kali lazusha kizaazaa kila kona ya dunia
Wimbi la joto kali lazusha kizaazaa kila kona ya dunia
Wafanyakazi bilioni 2.41 duniani ambao ni asilimia 70 ya nguvu kazi ya ulimwengu, wanakabiliwa na joto kali.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Miaka 13 tangu kutokea ajali ya Fukushima
Ajali ya Fukushima inazingatiwa kuwa janga la pili la nyuklia katika historia ikilinganishwa na janga la Chernobyl.
Mafuriko yawaacha maelfu bila makaazi Kongo
Maelfu ya watu wameachwa bila makazi nchini Kongo kufuatia mafuriko mabaya zaidi kuwahi kushuhudiwa.
Je, ni nini maana ya upotoshaji kuhusu tabia nchi?
Habari potofu na uwongo pia huchapishwa na baadhi ya vyombo vya habari au kusambazwa na wanasiasa wanaopenda umaarufu.
Umoja wa Mataifa mbioni kutafuta makubaliano ya Dubai
Nchi zinazozalisha mafuta zinapinga wito wa kihistoria wa ulimwengu kuondokana na nishati ya visukuku.
Wadau wajadili kilimo cha kulinda mazingira mjini Kampala
Mkutano huo umeandaliwa na Mtandao wa Fair Trade ulio na mataifa 29 wanachama kanda ya Afrika na Mashariki ya kati.
Ulaya na mataifa mengine yakabiliwa na wimbi la joto kali
Shirika la WMO limesema ulimwengu unapaswa kujiandaa kwa mawimbi yanayoongezeka ya joto kali.
Maudhui yote (940) kwenye mada hii