1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ruto atetea rikodi ya uongozi wake wa miaka miwili

18 Septemba 2024

Rais William Ruto wa Kenya ametetea rikodi yake ya miaka miwili madarakani akisema hakuna serikali ya nchi hiyo iliyowahi kuweka mikakati madhubuti ya kuiendeleza Kenya kuliko ile anayoiongoza. Rashid Chilumba alikaa na kiongozi aliekuwa ziarani mjini Berlin, Ujerumani na kujadiliana naye juu ya rekodi hiyo pamoja na mambo mengine.

https://p.dw.com/p/4kkYd