1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mjadala waibuka kuhusu uhuru wa idara za sheria Kenya

14 Novemba 2022

Mjadala umeibuka kwa mara nyingine nchini Kenya juu ya uhuru wa idara za sheria na utoaji wa haki baada ya makamu wa rais wa nchi hiyo Rigathi Gachagua kumrai mwendesha mashatka mkuu wa serikali kuondoa kesi zilizo mahakamani ambazo zilifunguliwa wakati wa utawala uliotangulia. Rashid Chilumba amezungumza na mwanasheria Harun Ndubi kutoka Nairobi.

https://p.dw.com/p/4JUTd