1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana waliojitolea kuwashonea barakoa wazee na yatima

13 Mei 2020

Kutana na kikundi cha wasichana, mafundi cherehani kutoka Mtwara Tanzania walioamua kuwashonea barakoa bure wazee, yatima na wasiojiweza. Je wewe kwa nafasi yako umewahi kujitolea kufanya nini kuwasaidia wengine wenye uhitaji?Video na Salma Mkalibala. #Kurunzi 13.05.2020

https://p.dw.com/p/3cAry