1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufafanuzi: Je ni nchi zipi zinahusishwa na vita vya Sudan?

Hawa Bihoga
22 Agosti 2024

Vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sudan kati ya jeshi la serikali na kundi la wanamgambo la RSF vimegharimu mamisha ya maelfu. Wapiganaji wa kimataifa na mamluki wamejiunga katika mapigano yasioonesha dalili ya kumalizika hivi karibuni.

https://p.dw.com/p/4jngg