1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madhila ya wazee Tanzania

24 Oktoba 2019

Umri mrefu bila shaka ni baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu ila kwa wazee nchini Tanzania, wanapitia matatizo chungunzima katika huo umri wao wa utu uzima. Ndiposa mwanahabari wa DW Salma Mkalibala alipoamua kuangalia masaibu yao katika makala haya ya Mbiu ya Mnyonge. Msikilize.

https://p.dw.com/p/3Rrwz