1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiUganda

Madhila ya wazee, jamii imesahau wajibu wake?

30 Juni 2023

Makao haya ya wazee nje ya mji wa kampala Uganda, yamekuwa tulizo na amani kwa wazee hawa ambao wamekutana na dhuluma chungumzima kwenye jamii zao. Baadhi wametelekezwa na watoto wao na wengine kudhulumiwa mali zao. Je! jamii imesahau wajibu wake kwa kundi hili?

https://p.dw.com/p/4TFBo