1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Historia ya Kombe la Dunia la Wanawake

20 Julai 2023

Mashindano ya Kombe la kwanza la Dunia kwa Wanawake yalifanyika China mwaka wa 1991. Mchezo huo wa wanawake ulipigwa marufuku katika nchi nyingi, ikiwemo Ujerumani. Marekani ndiyo timu yenye mafanikio makubwa katika historia ya Kombe la Dunia la Wanawake.

https://p.dw.com/p/4UBhR
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio