1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Amnesty yasema kulifanyika uhalifu wa kivita, Afghanistan

15 Desemba 2021

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International limetoa ripoti yake inayoelezea uhalifu wa kivita na ukatili uliofanywa nchini Afghanistan katika mapigano yaliyoendeshwa na kundi la Taliban wakati wa kuchukua madaraka na kuiondoa serikali iliyokuwa ikitambuliwa kimataifa.

https://p.dw.com/p/44Ijq