1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Afrika katika magazeti ya Ujerumani

20 Septemba 2024

Yaliyozingatiwa kwenye magazeti ya Ujerumani juu ya Afrika wiki hii ni pamoja na mzozo uliozuka kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya Kongo kukusudia kuwachukua wanyarwanda sita waliokuwa na hatia ya mauaji ya kimbari baada ya kutumikia vifungo jela. Jumuiya ya kimataifa inageukia kwingine wakati vita vinaendelea nchini Sudan. Mtayarishaji Zainab Aziz.

https://p.dw.com/p/4ktgu